Imaja centre

Imaja centre

Monday, December 19, 2016

JIENDELEZE KIELIMU

Kama  unahitaji kujiendeleza kielimu kwa kusoma O-level  & Advance(form five&six)karibu sana Imaja Open school kwa elimu bora.
Tunatoa masomo kwa watu wote wanaotaka kujiendeleza/ wanaotaka kurudia mtihani wa QT, kidato cha nne na cha sita. Masomo yote ni kwa mwaka mmoja tu!
Madarasa tulionayo ni kama ifuatavyo:-
  • QT 
  • Form Three & four
  • Form five & Six

Gharama zetu ni nafuu sana. Timiza malengo yako kielimu na Imaja Open School kwa elimu ya uhakika na kiwango bora

No comments:

Post a Comment